Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » SIMU AINA YA NOKIA ASHA YAZINDULIWA JIJINI DAR KWA KISHINDO

SIMU AINA YA NOKIA ASHA YAZINDULIWA JIJINI DAR KWA KISHINDO






Meneja wa
Nokia Nchini Tanzania, Samson Majwala (kushoto) akitoa zawadi ya Simu ya Nokia “Asha”
kwa Dj Fetty wa Radio Cloudz wakati wa uzinduzi  wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303,
uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 

Wasanii
wa kundi la Tanzania House of Talent (THT) wakicheza wakati wa uzinduzi wa simu
ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es
Salaam mwishoni mwa wiki
 




Balozi
wa Nokia “Asha”, Rachel Samweli (katikati) akiwaelekeza wateja ubora wa simu
hiyo wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye
Klabu ya Billicanas Dar es Salaam


THT wakicheza


Balozi
wa Nokia “Asha”, Rachel Samweli (katikati) akiwaelekeza wateja ubora wa simu
hiyo wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye
Klabu ya Billicanas Dar es Salaam



Balozi
wa Nokia “Asha”, Abdalah Ngoma (wa pili kulia) akiwaelekeza wateja ubora wa
simu hiyo wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika
kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam


Mtangazaji na Dj
wa Radio ya Cloudz fm, Fatuma Hassan(Fetty), (kulia) akizungumza na
wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303,
uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam .Kushoto ni
Mtangazaji wa Radio ya East Afrika,Anna Peter,na mtangazaji wa Radio
Cloudz, Hamis Mandi(B12 


 Meneja wa
Nokia Nchini Tanzania, Samson Majwala (kushoto) akitoa zawadi ya Simu ya Nokia “Asha”kwa
Mtangazaji wa Radio ya East Afrika,Anna Peter
.
 Wakiwa na furaha mara baada ya kupata zawadi ya simu


 Sasa muziki kwenda mbele



Wadau wakisakata rumba kwa kwenda mbele.

Picha Na Michael Machellah

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa