Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » Madereva na Makondakta wa Daladala za Mnazi Mmoja kwenda Gongo la Mboto (UMAMAGOM) wajiunga na Mpango wa Uchangiaji wa Hiari wa PSPF

Madereva na Makondakta wa Daladala za Mnazi Mmoja kwenda Gongo la Mboto (UMAMAGOM) wajiunga na Mpango wa Uchangiaji wa Hiari wa PSPF

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
 ASP Swai kutoka Makao Makuu ya Traffic Tanzania akizungumza jambo kwenye hafla ya kukabidhi vitambulisho vya uanachama wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari wa PSPF kwa Umoja wa Madereva na Makondakta wa Daladala zinazofanya kazi kutoka Mnazi Mmoja-Gongo la Mboto (UMAMAGOM) iliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
  Mtaalamu waUjasiliamali kutoka shirika lisilo la kiserikali la Axis Busness Consult, Mbwana Kambangwa akizungumza jambo kwenye hafla hiyo
Hadji Jamadary ambaye ni mtumishi wa PSPF akitoa elimu kwa Madereva pamoja makondakta kuhusu umuhimu wa kujiunga kwenye mpango wa uchangiaji wa hiari PSS, wengine ni Mwenyekiti wa UMAMAGOM, Ibrahimu Mtunze, ASP Swai kutoka makao makuu ya traffic Tanzania na  Mtaalamu wa Ujasiliamali kutoka shirika lisilo la kiserikali la Axis Busness Consult bwana Mbwana R. Kambangwa
 Katibu wa Umoja wa Madereva na Makondakta wa Daladala zinazofanya kazi kutoka Mnazi Mmoja kwenda Gongo la Mboto( UMAMAGOM) akiuliza swali kwa Kamanda ASP Swai kuhusu suala la usalama wao wakiwa barabarani.
 Mmoja wa madereva akiuliza swali wakati wa hafla hiyo
 Afisa wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari PSS wa PSPF, Hadji Jamadary akimkabidhi moja ya kadi za uanachama wa mpango wa uchangiaji wa hiari mgeni rasmi ASP Swai kutoka makao makuu ya Traffic Tanzania 
 ASP Swai kutoka makao makuu ya traffic Tanzania akikabidhi kadi ya Uanachama wa PSS kwa mmoja wa Madereva waliojiunga na mfuko huo

Madereva pamoja na makondakta wakigawiwa vipeperushi kutoka PSPF
  Baadhi ya Madereva na makondakta waliofika kwenye hafla hiyo wakifuatilia maelezo kutoka PSPF
 Mtumishi wa PSPF, Abdalah Mohamed (anayeandika) akiwaandikisha Madereva na Makondakta kwenye mpango wa uchangiaji wa hiari wa PSPF waliofika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja
Picha ya Pamoja

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa