Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » WAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI KWA KUTEMBELEA MRADI WA UMEME WA KINYEREZI

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI KWA KUTEMBELEA MRADI WA UMEME WA KINYEREZI


 Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco), Simon Jilima (katikati) akielezea maendeleo ya mradi wa Kinyerezi I kwa Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George  Simbachawene (wapili kulia) na Naibu Waziri wa Wizara hiyo anaeshughulikia Nishati, Charles Mwijage (kulia), Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Ngosi Mwihava (kushoto) walipotembelea mradi huo jana baada ya kuanza kazi.
 Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) Dk. James Mataragio (kushoto) akimueleza Waziri wa Nishati na Madini, George  Simbachawene (wapili kushoto), Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Ngosi Mwihava na Naibu Waziri wa Wizara hiyo anaeshughulikia Nishati, Charles Mwijage (kulia) juu ya hatua iliyofikiwa ya ukamilishaji wa kituo cha kuchakata gesi cha Kinyerezi I pamoja na ujenzi wa bomba la   gesi kutoka Mtwara hadi  jijini  Dar es Salaam walipotembelea kituo hicho
 Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George  Simbachawene na  Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Nishati) Mhe. Charles Mwijage (katikati)  wakiwa katika picha ya  pamoja na watendaji wa Wizara  ya Nishati na Madini na wataalamu wa mradi wa kuchakata gesi wa Kinyerezi.



Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa