Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) Bw. Rished Bade (kulia) akikata utepe kwenye boksi lililokuwa na Mtaala
utakaotumia katika mafunzo hayo wakati wa ufunguzi uliofanyika leo jijini Dar
es Salaam kushoto ni Mkuu wa Chuo cha uongozi wa Kodi (ITA) Prof. Isaya
Jairo
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) Bw. Rished Bade (kulia) akionesha mtaala utakaotumika katika mafunzo ya
washiriki 150 waliodahiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kushoto ni Mkuu
wa Chuo cha uongozi wa Kodi (ITA) Prof. Isaya Jairo
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) Bw. Rished Bade(wa sita kutoka Kulia) na Mkuu wa Chuo cha uongozi
wa Kodi Prof. Isaya Jairo (ITA) (wa Tano kutoka kushoto) wakiwa
katika Picha ya Pamoja na washiriki wa Mafunzo hayo baada ya kuyazindua leo
Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo hayo wakifuatilia hotuba zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa ufunguzi wa Mafunzo hayo.
Picha na Hassan Silayo-MAELEZO.
-
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA), Richard Kayombo akiwakaribisha wageni katika hafla ya
ufunguzi wa Mafunzo ya ukusanyaji kodi kwa waajiriwa wapya Leo Jijini
Dar es Salaam.
Mkuu
wa Chuo cha uongozi wa Kodi (ITA) Prof. Isaya Jairo akimkaribisha Mgeni
Rasmi katika ufunguzi wa Mafunzo hayo na kuwataka washiriki kushiriki
kikamilifu kwenye kipindi cha mafunzo ili waweze kuwa na mbinu thabiti
za ukusanyaji kodi kwa maslahi ya Taifa
Naibu
Mkurugenzi kitengo cha Rasilimali Watu Bw. Victor Kimaro akiwaeleza
washiriki wa Mafunzo namna mchakato ulivyofanyika na kuwataka
kuthibitisha ubora wao katika kipindi chote cha mafunzo
- Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),
Bw. Rished BADE akiongea na washiriki wa Mafunzo ya ukusanyaji kodi na
kuwataka kufanya kazi kama watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania na
kutumia fursa hiyo kujiimarisha kiutendaji kabla ya kuanza kazi rasmi ya
ukusanyaji kodi inayohitaji uadilifu na ueledi wa hali ya juu katika
kuitekeleza, wakati wa hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment