Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mh.Lowassa
akiwa na viongozi wa UKAWA katika Hoteli ya Bahari Beach Hoteli jijini
Dar es Salaam jioni ya leo mara baada ya kutangaza rasmi azma yake ya
kujiunga na ukawa.
Mwenyekiti
wa Taifa wa Chadema,Freeman Mbowe akiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu
Edward Lowassa katika Hoteli ya Bahari Beach Jijini Dar es Salaam jioni
hii alipokuwa akitangaza azma yake ya kujiunga na UKAWA kupitia chama
cha CHADEMA.
Mh.Waziri
Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akiteta jambo na Mwenyekiti Taifa wa Chama
Cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba katika Hoteli ya Bahari
Beach jijini Dar es Salaam.
Kwa hisani ya Michuzi Media group
0 comments:
Post a Comment