Naibu
Waziri wa Kazi na Ajira na Mbunge wa Segerea anayemaliza muda wake, Mh.
Dkt. Makongoro Mahanga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo
pichani) nyumbani kwake Segerea mwisho jijini Dar es salaam, wakati
akitangaza kujiondoa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga
na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo Jumapili Agosti 2,
2015.
Home »
» BAADA YA KUKATWA KURA ZA MAONI CCM DKT. MAKONGORO MAHANGA ATIMKIA CHADEMA
BAADA YA KUKATWA KURA ZA MAONI CCM DKT. MAKONGORO MAHANGA ATIMKIA CHADEMA
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment