Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AMJULIA HALI WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA DAVID MSUYA NYUMBANI KWAKE UPANGA JIJINI DAR ES SALAAM FEBRUARI 18,2017

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AMJULIA HALI WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA DAVID MSUYA NYUMBANI KWAKE UPANGA JIJINI DAR ES SALAAM FEBRUARI 18,2017

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya nyumbani kwake Upanga jijini Dar es Salaam alipokwenda kumjulia hali, Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya alikuwa ametoka hospitalini alipokuwa amelazwa mara baada ya hali yake kuwa nzuri na kuruhusiwa na kurejea nyumbani Februari 18,2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuombea Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya mara baada ya kumaliza mazungumzo yao nyumbani kwake jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya mara baada ya kumjulia hali nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya akimsindikiza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye alifika nyumbani kwake kumjulia hali.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya mara baada ya kumjulia hali nyumbani kwake Upanga jijini Dar es Salaam.
Picha na Ikulu

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa