Daktari
bingwa wa Upasuaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dkt.
Ibrahim Mkoma akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari kuhusu
kuruhusiwa kwa mgonjwa aliyekuwa anapatiwa matibabu kutokana na majeraha
ya kuunguzwa na maji ya moto kifuani, shingoni na mkononi, Bibi. Neema
Mwita maarufu kama mgonjwa wa Magufuli. Neema alikuwa akipatiwa matibabu
katika hospitali hiyo kufuatia msaada wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kuguswa na taarifa za
mgonjwa huyo mapema mwezi wa pili mwaka huu hali iliyompelekea kuchukua
jukumu la kumsaidia.Mkuu wa Jengo la Sewahaji Bibi. Salome Mayenga
(kushoto) na Mkuu wa Wodi namba 24 Sewahaji, Muhimbili Bibi. Georgina
Kabaitileki.
Daktari
bingwa wa Upasuaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dkt.
Ibrahim Mkoma akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari kuhusu
kuruhusiwa kwa mgonjwa aliyekuwa anapatiwa matibabu kutokana na majeraha
ya kuunguzwa na maji ya moto kifuani, shingoni na mkononi, Bibi. Neema
Mwita maarufu kama mgonjwa wa Magufuli. Neema alikuwa akipatiwa matibabu
katika hospitali hiyo kufuatia msaada wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kuguswa na taarifa za
mgonjwa huyo mapema mwezi wa pili mwaka huu hali iliyompelekea kuchukua
jukumu la kumsaidia.
Mkazi
wa mkoa wa Mara ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa
Muhimbili (MNH) kwa ajili ya matibabu ya upasuaji wa mgonjwa kufuatia
majeraha ya kuunguzwa na maji ya moto kifuani, shingoni na mkononi,Bibi.
Neema Mwita akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli (hayupo pichani) kwa kitendo chake cha kumfariji na
kumsaidia kupata matibabu ya hayo wakati akiongea na waandishi wa habari
leo Jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa Upasuaji wa Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili (MNH), Dkt. Ibrahim Mkoma.
Picha na: Frank Shija – MAELEZO
0 comments:
Post a Comment