Said
Mrisho akishukuru kwa wote wanao jitokeza kumpigania kwa hali na mali,
hasa akianza na kumshukuru Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kwa
kuwa na maono ya kumchaguwa Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam ambae anauchungu wa wananchi wake na pia namshukuru Kiongozi wa
Mabohora kumsaidia Bajaji 2, sina cha kuwalipa ila Mungu atawalipa, hayo
yalisemwa na Mrisho wakati wa hafla ya kukabidhiwa bajaji 2 na Mkuu wa
Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, msaada uliotolewa na Kiongozi wa
Mabohora maeneo ya Upanga, Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa Paul Pakonda (wa kwanza kushoto) akisalimiana na Kiongozi wa Mabohora, Syedna Dk. Mufaddal Saifuddin (wa tatu kushoto)
wakati wa hafla ya kumkabidhi Bajaj 2, Said Mrisho amae alietobolewa macho na Mtuhumiwa Salum Njewele (Scopion)
wakati wa hafla ya kumkabidhi Bajaj 2, Said Mrisho amae alietobolewa macho na Mtuhumiwa Salum Njewele (Scopion)
Kiongozi
wa Mabohora, Syedna Dk Mufaddal Saifuddin (wa pili kulia) akipeana
mikono na Said Mrisho ambaye alipata upofu wa Macho na Mtuhumiwa Salum
Njewele (Scopion) wakati wa hafla ya kumkabidhi Bajaj mbili jijini Da
es Salaam. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Said Mrisho,(kushoto) akikabidhiwa kadi za Bajaj na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
Waandishi wa habari
0 comments:
Post a Comment