Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
akiongea machache kwenye hafla ya kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam
wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
salaam leo Oktoba 17, 2016
Sehemu ya wafiwa kwenye hafla ya kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam
wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na
mkewe wakitoa heshima zao za mwisho na kuaga mwili wa Meya wa Dar es
salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini
Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na
mkewe wakiwapa pole wafiwa baada ya kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam
wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na
mkewe wakiwapa pole wafiwa baada ya kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam
wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na
mkewe wakiwapa pole wafiwa baada ya kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam
wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete
wakitoa heshima zao za mwisho na kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa
zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete
wakiwapa pole wafiwa baada ya kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa
zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete
wakiwapa pole wafiwa baada ya kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa
zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
salaam leo Oktoba 17, 2016
Makamu wa Rais Mstaafu Dkt Mohamed Gkalib Bilali, Katibu Mkuu
Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi na Meya wa Jiji la Dar es salaam Mhe.
Isaya mwita wakitoa heshima zao za mwisho na kuaga mwili wa Meya wa Dar
es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee
jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Mama Salma Kikwete akitoa pole kwa wafiwa baada ya kuaga mwili wa
Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika viwanja vya
Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Rais
Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho kikwete na viongozi wengine wakiwa jukwaa kuu
katika shughuli ya
kutoa heshima za mwisho na kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa
zamani Dkt. Didas Masaburi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
salaam leo Oktoba 17, 2016
0 comments:
Post a Comment