Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » WASHINDI WA SHINDANO KUHUSU MASOKO YA MITAJI KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU NA TAASISI ZA ELIMU YA JUU WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

WASHINDI WA SHINDANO KUHUSU MASOKO YA MITAJI KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU NA TAASISI ZA ELIMU YA JUU WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO


Mgeni rasmi, naibu waziri wa fedha na mipango Mhe, dkt Ashatu kijaju akiwa na majaji katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa shindano kuhusu masoko ya mitaji kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu

washindi nafasi ya tatu wakikabidhiwa zawadi mfano wa hundi yenye thamani ya sh laki tano

 

Mgeni rasmi akitoa vyeti kwa wahitimu wa kozi ya watendaji katika masoko Ya mitaji

Baadhi ya wahadhiri wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi mara baada ya    hafla ya kutoa zawadi kwa washindi wa shindano kuhusu masoko ya mitaji kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu; na kutoa vyeti kwa wahitimu wa kozi ya watendaji katika masoko ya mitaji iliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa julius nyerere.
 






Wajumbe wa bodi ya mamlaka ya masoko ya mitaji na dhamana wakiwa katika picha ya pamoja mara ya   hafla ya kutoa zawadi kwa washindi wa shindano kuhusu masoko ya mitaji kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu; na kutoa vyeti kwa wahitimu wa kozi ya watendaji katika masoko ya mitaji iliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa julius nyerere.
 




0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa