Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Daktari Bingwa wa upasuaji wa Magonjwa ya Moyo na mishipa ya damu Prof. William Mahalu akiongoza kikao cha kwanza cha bodi hiyo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo
Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia taarifa ya Taasisi hiyo iliyokuwa
ikisomwa na Katibu ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Prof.
Mohamed Janabi katika kikao cha kwanza cha Bodi kilichofanyika leo
jijini Dar es Salaam.
Picha na Anna Nkinda - JKCI
0 comments:
Post a Comment