Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » SSRA WAADHIMISHA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUTOA MISAADA HOSPITALI YA MWANANYAMALA DAR ES SALAAM

SSRA WAADHIMISHA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUTOA MISAADA HOSPITALI YA MWANANYAMALA DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. CODES
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) wakiwa na baadhi ya vifaa kwa ajili ya kukabidhi Hospitali ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni katika kuadhimisha Sikukuu ya Wanawake duniani.
Meneja Utawala na Utumishi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bi. Amina Ally, akikabidhi baadhi ya vifaa kwa Muuguzi Kiongozi wa wodi ya wazazi ya hospitali ya Mwananyamala, Sista Eva Njalla, Dar es Salaam katika kuadhimisha Sikukuu ya Wanawake duniani.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk. Daniel Nkungu (kushoto), akiwashukuru wafanyakazi wa SSRA, mara baada ya kupokea misaada hiyo.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk. Daniel Nkungu (kulia), akiwatambulisha wafanyakazi wa SSRA kwa baadhi ya wafanyakazi wa hospitali hiyo.
Meneja Utawala na Utumishi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bi. Amina Ally, akikabidhi baadhi ya msaada kwa mmoja wa wazazi waliokuwepo kwenye wodi hiyo.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa