Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof Elisante ole Gabriel akiteta jambo na
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe na
wakati waziri huyo alipowasili Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akisalimiana na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Anastazia Wambura wakati alipowasili Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe
akisalimiana na baadhi ya wakurugenzi na wakuu wa Taaisi zilizo chini ya
Wizara yake wakati alipowasili Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison
Mwakyembe akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili
Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia
Wambura akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili
Ofisini za Wizara Mjini Dodoma.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof Elisante
Ole Gabriel (aliyesimama) akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe (katikati) kabla
ya kuzungumza na waandishi wa habari kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara
hiyo Mhe. Anastazia Wambura.
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia
Wambura(kushoto) akimkaribisha Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na
Michezo Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe (katikati) kuzungumza na waandishi
wa habari Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof Elisante Ole Gabriel.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison
Mwakyembe (katikati) akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani)
kuhusu mikakati yake katika kuiongoza Wizara.
Baadhi ya wakurugenzi wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo wakifuatilia hotuba ya Waziri wa
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe(hayupo
pichani) wakati alipokuwa akizungumza nao alipowasilikatika Ofisi za
Wizara Mjini Dodoma.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison
Mwakyembe akiwa Ofisini kwake Mjini Dodoma akitekeleza majukumu
mbalimbali ya Wizara.
Picha zote na Raymond Mushumbusi WHUSM Dodoma.
0 comments:
Post a Comment