Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » KIKAO CHA WAFANYAKAZI WA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) CHAFANYIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

KIKAO CHA WAFANYAKAZI WA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) CHAFANYIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akielezea utendaji kazi wa Taasisi hiyo katika  kikao cha wafanyakazi kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi uliopo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Utawala na Fedha wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Agnes Kuhenga akielezea kuhusu mapato na matumizi ya Taasisi hiyo katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi uliopo jijini Dar es Salaam.
 

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa