Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimvalisha vyeo vipya Inspekta
Jenerali wa Polisi(IGP) Simon Sirro kabla ya kumuapisha Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akimuapisha Inspekta Jenerali wa Polisi(IGP) Simon Sirro Ikulu
jijini Dar es Salaam
Inspekta Jenerali wa
Polisi(IGP) Simon Sirro akila kiapo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Inspekta Jenerali wa Polisi(IGP) Simon Sirro akisaini
Hati ya Kiapo cha Uadilifu Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi,
Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma, Waziri wa Mambo ya Ndani ya
nchi Mwigulu Nchemba,IGP mpya Simon Sirro,
IGP wa zamani Ernest Mangu pamoja na viongozi mbalimbali wa Jeshi la
Polisi pamoja na Magereza.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Inspekta
Jenerali wa Polisi(IGP) Simon Sirro pamoja na IGP wa zamani Ernest Mangu Ikulu
jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment