Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » Mkurugenzi wa Hamidu City Park, Kigamboni Bw.Hamidu Mvungi awaandalia futari Waislamu, ndugu jamaa na marafiki

Mkurugenzi wa Hamidu City Park, Kigamboni Bw.Hamidu Mvungi awaandalia futari Waislamu, ndugu jamaa na marafiki

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

HAM1

Bw. Hamidu H. Mvungi miliki wa kijiji cha Hamidu City Park, Mikwambe Kibada Kigamboni chenye nyumba 1500 akizungumza na wageni waalikwa mbalimbali waliohudhuria katika futari aliyowaandalia wageni wake wakiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Kigamboni Mh .Hashim Mgandilwa ambapo aliwashukuru wageni waalikwa hao kwa kujumuika naye katika futari hiyo katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, huku akiwatambulisha makazi hayo yenye nyumba za kuuza ambapo ameshirikiana na mabenki mbalimbali na kukopesha kwa watu wanaohitaji nyumba katika kijiji hicho.

HAM02

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni,Hashim Mgandilwaakimshukuru Bw. Hamodu H. Mvungi mara baada ya kushiriki katika futari hiyo pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria.

HAM4

Mtangazaji wa Chanel Ten na MC wa Shughuli hiyo ya Futari Bw. Albert Kilala akikaribisha wageni mbalimbali waliohudhuria katika futari hiyo.

HAM5

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni,Hashim Mgandilwa na Mwenyeji wake Bw. Hamidu Mvungi wakiongoza wageni waalikwa katika futari hiyo.

HAM6 HAM7

Baadhi ya wageni waalikwa mbalimbali waliohudhuria katika futari hiyo wakichukua chakula.

HAM8 HAM9

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni,Hashim Mgandilwa katikati , Mwenyeji wake Bw. Hamidu Mvungi pamoja na wageni wake wakipata futari.

HAM10

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigamboni, Rahel Mhando pamoja na wageni mbalimbali waalikwa wakishiriki katika futari hiyo iliyoandaliwa na Bw. Hamidu Mvungi nyumbano kwake Kigamboni.

HAM11 HAM12 HAM13 HAM14 HAM015

Baadhi ya wageni mbalimbali walioshiriki katika futari hiyo.

HAM3

Bw. Hamidu Mvungi na Mkuu wa wilaya ya Kigamboni Mh. Hashim Mgandilwa wakiwa katika picha ya pamoja.

HAM15

Bw. Hamidu Mvungi na Mkewe wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wageni wao.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa