Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking

BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma mbalimbali ikiwemo kufungua akaunti mpya na kujiunga na huduma ya SimBanking ndani ya gari la mauzo la Benki ya CRDB katika maeneo ya Mbezi-Kimara jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande).
Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma mbalimbali ikiwemo kufungua akaunti mpya na kujiunga na huduma ya SimBanking ndani ya gari la mauzo la Benki ya CRDB katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam.
Ofisa wa Benki ya CRDB, Edina Masawe, akimhudumia mteja wa benki hiyo, Christian Wilfred, aliyefika katika gari la mauzo la benki hiyo katika eneo la Mbezi Luis.
Ofisa Masoko wa Benki ya CRDB, Estherine Mtimba (kulia), akimsaidia kufungua akaunti pamoja na kumuunganisha na huduma ya SimBanking mteja mpya wa benki hiyo, Rehema Adam.
 Ofisa Mauzo wa Benki ya CRDB, Benjamin Banzi (wa pili kulia), akimuunganisha mteja, Christopher Mjata kwenye huduma ya SimBanking (huduma za benki ya CRDB kwa njia ya simu za mkononi) katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam.
Mteja wa Benki ya CRDB, Khalid Hassan (kulia), akifungua akaunti katika gari la mauzo la benki hiyo katika eneo la Mbezi jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa wa Benki ya CRDB, Eric Maro.
Baadhi ya wateja wa Benki ya CRDB wakitoka kufungua akaunti pamoja na kujiunga na huduma ya SimBanking katika gari la mauzo la benki hiyo katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam.
Wateja wakisubiri kupata huduma mbalimbal ndani ya gari la mauzo la Benki ya CRDB.
Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma mbalimbali ikiwemo kufungua akaunti mpya pamoja na kujiunga na huduma ya SimBanking ndani ya gari la mauzo la Benki ya CRDB katika eneo la Mbezi Luis.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa