Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » CHAMA CHA WAPANGAJI CHAWAJIA JUU MADALALI WASIO JISAJILI KATIKA MFUMO WA KAMPUNI

CHAMA CHA WAPANGAJI CHAWAJIA JUU MADALALI WASIO JISAJILI KATIKA MFUMO WA KAMPUNI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Wapangaji nchini Dumey Mukama akizungumza na Waandishi wa habari juu ya tamko lao la kupinga Madalali ambao hawajasajiliwa katika mfumo wa kampuni ,ambao wamekuwa kero kwa wanachama wao.
Mwanasheria wa Chama cha Wapangaji nchini, Pamela Kihumo akisisitiza jambo juu ya hatua watakazochukua kwa madalali wote ambao awajajisajiri katika mfumo wa makampuni katika kuendesha biashara ya upangishaji nyumba
Waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo wakiwa makini katika kuchukua taharifa hiyo kutoka chama cha Wapangaji ndani ya ukumbi wa idara ya haabari maelezo.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa