Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mkurugenzi
wa Huduma za Kimenejimenti wa Ofisi ya Msajili wa Hazina Bw. Mihale
Mwakabinga akiwasilisha mada kuhusu majukumu ya Msajili wa Hazina, Bodi
na Wizara Mama katika usimamzi wa Mashirika na Taasisi za Umma katika
kikao kazi kikao kazi cha uhamasishaji wa sheria mbalimbali za Ofisi ya
Msajili wa Hazina, wajibu na majukumu kilichowakutanisha na Wenyeviti wa
Bodi za Wakurugenzi,Watendaji Wakuu wa Mashirika na Taasisi za Umma
pamoja na Makatibu Wakuu wa Wizara leo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
wa Uwekezaji wa Umma kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina akielezea jambo
wakati akiwasilisha mada kuhusu maana ya Mashirika ya Umma katika kikao
kazi kikao kazi cha uhamasishaji wa sheria mbalimbali za Ofisi ya
Msajili wa Hazina, wajibu na majukumu kilichowakutanisha Wenyeviti wa
Bodi za Wakurugenzi, Watendaji Wakuu wa Mashirika na Taasisi za Umma
pamoja na Makatibu Wakuu wa Wizara leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka
kulia ni Msajili wa Hazina Dkt. Oswaid J. Mashindano na Mkurugenzi wa
Huduma za Kimenejimenti wa Ofisi ya Msajili wa Hazina Bw. Mihale
Mwakabinga.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Samwel
Mwita Nyantahe akichangia hoja wakati wa kikao kazi baina ya Ofisi ya
Msajili wa Hazina na Wenyeviti wa Bodi za Wakurugenzi, Watendaji Wakuu
wa Mashirika na Taasisi za Umma pamoja na Makatibu Wakuu wa Wizara leo
Jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kimefanyika kwa lengo la kuhamasisha
sheria mbalimbali za Ofisi ya Msajili wa Hazina, wajibu na majukumu yao.
Mkuu
wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) akichangia mada wakati wa
kikao kazi baina ya Ofisi ya Msajili wa Hazina na Wenyeviti wa Bodi za
Wakurugenzi, Watendaji Wakuu wa Mashirika na Taasisi za Umma pamoja na
Makatibu Wakuu wa Wizara leo Jijini Dar es Salaam. Kikao hicho
kimefanyika kwa lengo la kuhamasisha sheria mbalimbali za Ofisi ya
Msajili wa Hazina, wajibu na majukumu yao.
Baadhi
ya washiriki wa kikao kazi cha uhamasishaji wa sheria mbalimbali za
Ofisi ya Msajili wa Hazina, wajibu na majukumu ya Wenyeviti wa Bodi za
Wakurugenzi, Watendaji Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma pamoja na
Makatibu Wakuu wa Wizara leo Jijini Dar es Salaam.
Msajili
wa Hazina Dkt. Oswald J. Mashindano akifurahia jambo na Kaimu
Mkurugenzi wa Bima ya Maisha na Mafao kutoka Shirika la Taifa la Bima
(NIC) Bw. Michael Mowo walipokutana katika kikao kazi cha uhamasishaji
wa sheria mbalimbali za Ofisi ya Msajili wa Hazina, wajibu na majukumu
kilichowakutanisha Wenyeviti wa Bodi za Wakurugenzi, Watendaji Wakuu wa
Taasisi na Mashirika ya Umma pamoja na Makatibu Wakuu wa Wizara leo
Jijini Dar es Salaam.
Msajili
wa Hazina Dkt. Oswald J. Mashindano akiwa katika picha ya pamoja na
baadhi ya Wenyeviti wa Bodi za Wakurugenzi wa Taasisi na Mashirika ya
Umma mara baada ya kumaliza kikao kazi cha uhamasishaji wa sheria
mbalimbali za Ofisi ya Msajili wa Hazina, wajibu na majukumu yao leo
Jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kimewakutanisha Wenyeviti wa Bodi za
Wakurugenzi, Watendaji Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma pamoja na
Makatibu Wakuu wa Wizara.
Msajili
wa Hazina Dkt. Oswaid J. Mashindano akifafanua jambo katika kikao kazi
cha uhamasishaji wa sheria mbalimbali za Ofisi ya Msajili wa Hazina,
wajibu na majukumu mbele ya Wenyeviti wa Bodi, Watendaji Wakuu wa
Taasisi na Mashirika ya Umma pamoja na Makatibu Wakuu wa Wizara leo
Jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Huduma za
Kimenejimenti kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina Bw. Mihale Mwakabinga na
Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Umma wa OMH, Bw. Maftah Bunini.
Picha na: Frank Shija – MAELEZO
0 comments:
Post a Comment