Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mjane
wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akiangalia
bidhaa za Wanawake wa Kitanzania ambao wameshiriki maonyesho wakati wa
mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii(Women Advance
in Africa ) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam
Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akizungumza
na Mkurugenzi Tamic Company Limited Jacqueline Baruti wakati
alipotembelea banda lake katika Mkutano wa Women Advancing Africa
Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akiangalia
moja ya bidhaa zinazozalishwa na wajasilamali wa Tanzania
Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akitazama
bidhaa zinazozalishwa na kampuni ya Masaimara Gardening Co Ltd , Kulia
ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Murwa Kihore akimuonyesha bidhaa
zinazozalishwa .
0 comments:
Post a Comment