Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » MASAUNI APOKEA VIFAA VYA TAMASHA LA USALAMA BARABARANI LITAKALOFAYIKA AGOSTI 12, MWAKA HUU UWANJA WA TAIFA

MASAUNI APOKEA VIFAA VYA TAMASHA LA USALAMA BARABARANI LITAKALOFAYIKA AGOSTI 12, MWAKA HUU UWANJA WA TAIFA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipokea moja ya tisheti zitakazovaliwa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi na Mauzo wa Benki ya NMB, Omari Mtiga (kushoto), wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipokea moja ya tisheti zitakazovaliwa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani kutoka kwa Meneja Masoko wa Kampuni ya Bakhresa, Omary Kuwe (kushoto) wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipokea moja ya tisheti zitakazovaliwa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani kutoka kwa Mwakilishi wa Kampuni ya Bin Slum, wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya kupokea vifaa kutoka Kampuni mbalimbali zilizojitokeza kudhamini Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani litakalofanyika Agosti 12 katika Uwanja wa Taifa, ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Magufuli. Kulia ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Fortunatus Musilimu. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam.
Meneja Masoko wa Kampuni ya Bakhresa, Omary Kuwe (kushoto) akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya kukabidhi vifaa kwa ajili ya udhamini wa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani litakalofanyika Agosti 12 katika Uwanja wa Taifa, ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa