Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » NIYONZIMA ALIVYOANZA MAZOEZI NA MASTAA WENGINE WA SIMBA

NIYONZIMA ALIVYOANZA MAZOEZI NA MASTAA WENGINE WA SIMBA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Niyonzima (kushoto) akifanya mazoezi kwa kufuata maelekezo ya kocha msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja.
Mayanja akimnyoosha viungo, Niyonzima.
Niyonzima akipiga ‘kontroo’.
Nduda akiwa amechumpa hewani
Niyonzima akimsalimia Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe.
Wachezaji wakikontroo mpira.
. …Wakiendelea kupasha.
Mashabiki wakisukuma gari alilopanda Niyonzima wakati akiondoka.

KIKOSI cha Simba leo kimefanya mazoezi kwenye uwanja wa Boko Veterani uliopo Ununio jijini Dar ikiwa ni maandalizi ya bonanza lake la Simba Day linalotarajiwa kufanyika kesho Uwanja wa Taifa.
Katika mazoezi hayo kikosi hicho kiliwajumuisha wachezaji wake wapya akiwemo Haruna Niyonzima, John Boko, Emmanuel Okwi, Aishi Manula, Said Mohammed, Erasto Nyoni na wengineo.

Baada ya mazoezi

Baada ya mazoezi hayo mashabiki waliofika kuangalia jinsi simba ilivyopasha walishindwa kuzuia hisia zao na kuamua kulisukuma gari la Niyonzima huku wakimshangilia na kumkaribisha.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa