Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa tatu kulia), akizungumza na
Rais wa Kampuni ya China Civil Engineering Construction Cooporation (CCECC) Bw.
Zhao Dianlong kuhusu maendeleo ya ujenzi wa
barabara za maingiliano katika eneo la Ubungo (Ubungo interchange), leo
jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa pili kulia), akizungumza na
Makamu wa Rais wa kampuni ya China Harbour Engineering Company Ltd Bw. Liyi ..
kuhusu upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Leo Jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa
kampuni ya China Harbour Engineering Company Ltd Bw. Li-yi (Wa tatu kulia), akifafanua
jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Wa
pili kushoto), kuhusu shughuli za Upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam, leo
jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa pili kulia) akizungumza na
Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzania Bw. Song Geum-young (Kulia), kuhusu miradi
mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na nchi yake hapa nchini.
0 comments:
Post a Comment