Thursday, January 31, 2013

EFG YAFANYA MDAHALO MAALUM WA WADAU WA SEKTA ISIYO RASMI KUJADILI UKATILI WA KIJINSIA


Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la Kiserikali la 

Equality for Growth (EfG), Jane Magigita, akichangia 

mada katika mdahalo huo.
Mwezeshaji wa Mdahalo maalumu wa wadau 

wanaojishughulisha na sekta isiyo rasmi kwa ajili ya 

kujadili ukatili wa kijinsia hapa nchini, Frank Chambua 

(kushoto), akitoa mada katika mdahalo huo uliofanyika 

Dar es Salaam mwanzoni mwa wiki. Mdahalo huo 

uliandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la 

Equality for Growth (EfG) kwa ufadhili wa ubalozi 

wa nchi ya Uingereza.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la Kiserikali la Equality for Growth (EfG), Jane Magigita, akihojiwa na waandishi wa habari kuhusu mdahalo huo.

No comments:

Post a Comment