Friday, May 2, 2014

MATUMIZI SAHIHI YA TAKWIMU YATAIMARISHA UTAWALA BORA NCHINI‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 
 Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu wakitengeneza vizuri bango lao kwa ajili ya kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika jana katika uwaja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

 Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu wakiwa tayari na wakijiandaa kuungana na wafanyakazi wenzao kwenye maandamano ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika jana katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
 Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu wakipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (hayupo pichani) wakati wa kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika jana katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. 
( PICHA ZOTE NA VERONICA KAZIMOTO)

No comments:

Post a Comment