Wednesday, May 13, 2015

UCHAGUZI MKUU WA BURUNDI WAAHAIRISHWA KWA MUDA USIOJULIKANA.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Rais kikwete alipohutubia waandishi wa habari Dar es Salaam akiandamana na Rais Nkurunzinza.PICHA KWA HISANI YA BBC SWAHILI

Uchaguzi mkuu wa Burundi umeahirishwa kwa muda usiojulikana,kwa sasa vyama vyote vya siasa vya Burundi vitaitwa kujadili mezani kwa amani na kisha utaitishwa mkutano wa wakuu wa EAC kupitia mapendekezo ya mkutano huo wa vyama vya siasa ili kufikia maafikiano,pia EAC wamelaani vikali jaribio la mapinduzi Burundi.@Jakaya Mrisho Kikwete.

No comments:

Post a Comment