Thursday, May 21, 2015

WALEMAVU WAFUNGA MAKUTANO YA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

Watu wenye ulemavu leo wamefunga Barabara katika makutano ya Uhuru na Kawawa wakipinga kitendo cha kuvunjiwa vibanda vyao vya Biashara na kusababisha msongamano mkubwa wa magari.

No comments:

Post a Comment