Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Katibu Chama cha Wajane Tanzania John Shabani akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu kutoa
fursa ya kuzungumzia matatizo yanayowakumba wajane hasa wanawake na
watoto wao ili kurejesha haki zao na kupambana na umaskini kwa
kuwezeshwa.Kushoto ni
Mwenyekiti wa Chama cha Wajane Tanzania, Rose Sarwatt.
Mwenyekiti wa Chama cha Wajane Tanzania, Rose Sarwatt.
Baadhi
ya waandishi wa habari waliohudhuria katika kikao mkutano wa chama cha
wajanae hapa nchini mkutano ulifanyika katika ukumbi wa idala ya Habari
MAELEZO leo Jiji Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka.)
No comments:
Post a Comment