Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Marehemu Geofrey Boardington Gondwe
Ndg.Robert
Gondwe wa Dar es Salaam, anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake
Geofrey Boardington Gondwe kilichotokea jana(25.08.2015).Ataangwa
kesho(27.08.2015) kwake Kunduchi saa 6 mchana na Mazishi yatafanyika
makaburi ya kinondoni saa kumi jioni.
No comments:
Post a Comment