Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mgombea
Urais wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama cha demoktrasia na Maendeleo
Chadema, Edward Lowassa akinywa uji wa ulezi hii leo asubuhi
alipotembelea soko la Tandale jijini Dar es Salaam.
Lowassa akizungumza na wafanya biashara wa soko la Tandale.
No comments:
Post a Comment