Friday, August 31, 2012
Ajali Yatokea Buguruni
vijana hawa hawatoi msaada bali wanaiba redio
Ni kati ya daladala na gari dogo.naam badala ya watu kusaidia majeruhi kwenye gari dogo watu waliofika kwanza nimeona wakichomoa redio kwenye gari.
Picha na Mjengwa Blog
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment