Friday, August 31, 2012

Ajali Yatokea Buguruni






 vijana hawa hawatoi msaada bali wanaiba redio

Ni kati ya daladala na gari dogo.naam badala ya watu kusaidia majeruhi kwenye gari dogo watu waliofika kwanza nimeona wakichomoa redio kwenye gari.
Picha na Mjengwa Blog

No comments:

Post a Comment