Home » » Ajali Yatokea Buguruni

Ajali Yatokea Buguruni






 vijana hawa hawatoi msaada bali wanaiba redio

Ni kati ya daladala na gari dogo.naam badala ya watu kusaidia majeruhi kwenye gari dogo watu waliofika kwanza nimeona wakichomoa redio kwenye gari.
Picha na Mjengwa Blog

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa