Meneja wa
Kanda ya Dar es Salaam Mfuko wa Pensheni
wa LAPF , Yessaya Mwakifulefule (wa pili kulia)
akimkabidhi Katibu wa kamati ya Usalama Barabarani Kanda Maalum, ACP
Peter Sima (kushoto), Hundi ya thamani ya Million Tatu walizotoa kwa ajili yakusaidia mahitaji ya
wiki ya nenda kwa usalama. Wanaoshuhudia ni Mwenyekiti wa kamati hiyo
Elifadhili Mgonja (wa pili kushoto) na Afisa masoko wa Mfuko huo Rehema Mkamba .
No comments:
Post a Comment