Home » » NAIBU SPIKA MH. TULIA ACKSON AKUTANA NA UJUMBE WA WABUNGE KUTOKA KOREA YA KUSINI LEO OFISINI KWAKE JIJINI DAR

NAIBU SPIKA MH. TULIA ACKSON AKUTANA NA UJUMBE WA WABUNGE KUTOKA KOREA YA KUSINI LEO OFISINI KWAKE JIJINI DAR


 Naibu SpikA, Dkt. Tulia Ackson akipokea zawadi ya Taa ya Solar  alilopewa na Ujumbe wa Wabunge kutoka Korea ya Kusini walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, kulia ni Kiongozi wa Ujumbe huo, Won Yoochul.
 Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Ujumbe Wabunge kutoka Korea ya Kusini walipomtembelea leo ofisini kwake Jijini Dar es Salaam wakiongozwa na kiongozi wao Won Yoochul.
Naibu SpikA, Dkt. Tulia Ackson akionyeshwa zawadi ya Jarida la Watoto alilopewa na Ujumbe wa Wabunge kutoka Korea ya Kusini walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, kulia ni Kiongozi wa Ujumbe huo, Won Yoochul.


0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa