Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » SIMBA YAMTIMUA KOCHA WAKE JIONI HII

SIMBA YAMTIMUA KOCHA WAKE JIONI HII


 Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Hoteli ya Serena Dar es Salaam jioni hii wakati akitoa taarifa ya kufukuzwa kwa kocha huyo. Kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Simba, Collin Frisch na Saidi Tully.  
 Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Klabu ya Simba, Collin Frisch (kulia), akimsindikiza kwenda kupanda gari kocha wa timu hiyo Zdravko Logarusic 'Loga', wakati wakitoka katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam leo jioni, baada ya kutimuliwa kuifundisha timubu hiyo. Kocha huyo alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja wa kufundisha timu hiyo. Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com. simu namba 0712-727062)




Gari namba T 853 BGS alilotumia kocha huyo wakati akiondoka katika hoteli hiyo baada ya kutimuliwa.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa