Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » TANZANIA YAPATA MSAADA WA MABILIONI KUSAIDIA MIRADI YA MAENDELEO

TANZANIA YAPATA MSAADA WA MABILIONI KUSAIDIA MIRADI YA MAENDELEO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Servicus B. Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou- Sabaa wakisaini mkataba wa Tsh 137.5 Billion kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa serikali ya Tanzania. Hafla hiyo ilifanyika Jijini Abidjan- Ivory coast.
 Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw.Aly Abou – Sabaa na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile wakipongeza na baada ya kusaini mkataba wa Tshs 137.5 Billoni wa kusaidia kwenye sekta ya umeme na nishati nchini Tanzania.
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou-Sabaa na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile pamoja na wajumbe waliohudhuria katika hafla ya kutia saini mkataba wa kiasi cha Tsh. 137.5 Billion kwa ajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo hasa umeme nchini Tanzania.
********************************************
STATEMENT BY DR. SERVACIUS B. LIKWELILE, PERMANENT SECRETARY, MINISTRY OF FINANCE ON THE OCCASION OF SIGNING A LOAN AGREEMENT BETWEEN THE GOVERNMENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA AND THE AFRICAN DEVELOPMENT BANK, HELD IN ABIDJAN IVORY COAST ON 27TH MAY, 2015.

Vice President African Development Bank,
Regional Director East Africa Resource Centre
Representatives of ED’s Office
Government Delegation officials
Distinguished Guests,
Ladies and Gentlemen:

Good afternoon!

Mr. Vice President, Please allow me, on behalf of the Government of the United Republic of Tanzania, to express my gratitude for this opportunity of signing with you today, the Loan Agreement through which your Bank will provide UA 50 Million (equivalent to USD 70.5 Million or TZS 137.5 Billion) to promote inclusive growth and enhanced economic competitiveness through power sector, economic and financial governance reforms. This loan will support the implementation of the Government’s reform agenda from the fiscal year 2014/2015.

Indeed, the Government and people of Tanzania appreciate the Bank’s support which will enable the Government to boost efforts to implement energy sector and other related public financial management reforms. In particular, we understand that the project will address the following issues: (i) strengthening the institutional frame work and operational efficiency of the power sector, (ii) enhancing competition and private sector participation in power sector, and (iii) improving Governance through PFM reforms, development initiatives in Tanzania.

Mr. Vice President, the Government of Tanzania appreciates the continued support of AfDB in reforming the energy sector in Tanzania. I note with appreciation that this operation is built on the previous support of USD 58.2 million that was approved by the Board for Tanzania in December 2013, that supported the development of the Electricity Supply Industry Reform Strategy and Road Map which were approved by the Government in late 2014.

Mr. Vice President, the preparation of the documents of this project and approval of the loan by the Board has involved many people and long hours of hard work. I want to thank all those who have worked so hard to make it possible for this agreement to be signed today. Allow me also to thank you personally, Mr. Vice President, for your efforts in ensuring that all processes were concluded timely.

Finally, let me conclude by re-affirming our commitment to the successful implementation of this project. Further, I also want to reassure you of our continued commitment towards strengthening the partnership and friendly relationship that exist between Tanzania and the Bank.
Thank you all once again for your kind attention.

Delivered by: Ingiahedi Mduma
Spokesperson
Ministry of Finance-TZ
Abidjan- Ivory Cost

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa