Home » » BALOZI WA FINLAND NCHINI SINIKKA ANTILA AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO OFISINI KWAKE LEO

BALOZI WA FINLAND NCHINI SINIKKA ANTILA AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO OFISINI KWAKE LEO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Balozi wa Finland  Nchini Sinikka Antila akisaini kitabu cha wageni kwenye ofisi ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo mara baada ya kuwasili.
 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) akisisitiza jambo katika kikao hicho. Kati ya masuala yaliyojadiliwa ni pamoja na ushirikiano baina ya nchi ya Tanzania na Finland katika masuala ya teknolojia,  uendelezaji wa rasilimaliwatu na usimamizi wa fedha
Balozi wa Finland Nchini Sinikka Antila (kulia) akizungumzia jinsi  nchi ya Finland ilivyopiga hatua kimaendeleo hususani katika sekta ya nishati pamoja na utayari wa nchi hiyo kushirikiana na nchi  ya Tanzania katika kuimarisha sekta za nishati na madini.

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa