Katika hali isiyo ya kawaida mitaa ya Sinza Shekilango imeonekana Bendera kubwa ya Taifa ikiwa inapepea ndani ya Bar huku kila mtu akitazama na kukaa kimya
Dar es salaam yetu katika pitapita zake ilibaini tukio hilo na kujalibu kuuliza na kupokea jibu moja tuu labda imewekwa kama moja ya pambo.
Hata hivyo juhudi za kuwauliza wahusika kwa nini wamefanya kuweka Bendela hiyo kubwa ya Taifa ambayo hupatikana maeneo husika na kwa kibali hazikufanikiwa kwa kila mtu kumtupia mwenzake mpira
Mpaka tunaondoka eneo la Tukio bado Bendera iliendelea kupepea na kwamba ipo hapo kila siku
hizo ni Baadhi ya picha ya eneo hilo
1 comments:
Bendera inapaswa kuwa mahali popote , tena napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza hao waloweka bar , bendera huongera hisia za utaifa , acheni ushamba wa zamani kwamba ukiona bendera uiogope , afu taifa kubwa kama marekani hamwoni wao wanaweka hadi chooni bendera zao tanzania ina ukubwa gani , ACHA USHAMBA MWANDISHI Hayo ndo maneno ya kupoteza watu .
Post a Comment