Home » » SACP MPINGA ALONGA NA WANAHABARI KUHUSU MIKAKATI MIPYA YA KUPUNGUZA MATUKIO YA AJALI NCHINI

SACP MPINGA ALONGA NA WANAHABARI KUHUSU MIKAKATI MIPYA YA KUPUNGUZA MATUKIO YA AJALI NCHINI




Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani Tanzania, SACP, Mohammed Mpinga akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mikakati mbalimbali waliyopanga kupunguza matukio ya ajali nchini. Kushoto ni Ofisa Mfawidhi wa  Kikosi hicho, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Johansen Kahatano.


Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani Tanzania, Mohamed Mpinga akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mikakati mbalimbali waliyopanga kupunguza matukio ya ajali nchini. Kulia kwake ni Ofisa Mfawidhi wa  Kikosi hicho, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Johansen Kahatano.


Ofisa Mfawidhi wa  Kikosi hicho, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Johansen Kahatano akifafanua jambo mbele ya wanahabari


 Baadhi ya maofisa wa kikosi hicho wakisikiliza kwa makini wakati SACP, Mpinga akizungumza


                                             Wanahabari wakiwa kazini wakati wa mkutano huo 

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa