Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » HALMASHAURI YA WILAYA YA ILALA YAPITISHA BAJETI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 90.

HALMASHAURI YA WILAYA YA ILALA YAPITISHA BAJETI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 90.


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, wakati akisoma bajeti ya zaidi ya sh.bilioni 93.5 iliyopitishwa na Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2012-2013. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi na Huduma za Kijamii Angelina Malembeka na Naibu Meya Kheri Kessy. (Na Mpiga Picha Wetu).

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa