Home » » JWTZ Watenbelea TBL

JWTZ Watenbelea TBL


  Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Anga, akiingia kutembelea kiwanda cha Bia cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujionea jinsi bia zinavyozalishwa pamoja na kujifunza masuala ya Usalama mahali pa kazi, afya ya wafanyakazi na utunzaji wa mazingira.
 Askari wakitembelea kiwanda hicho kilichopo Ilala. Mchikichini, Dar
 Askari wakitembezwa eneo la matangi yanayotumika kuchachulia bia
Meneja wa Masuala ya Usalama mahali pa kazi wa TBL, Renatus Nyanda, akielezea kuhusu hatua mbalimbali za uzalishaji wa bia kiwandani hapo.
Kutoka Kamanda wa matukio

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa