Home » » Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Dk. Terezya Huvisa Akutana na Balozi wa Brazil Nchini Tanzania

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Dk. Terezya Huvisa Akutana na Balozi wa Brazil Nchini Tanzania

Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Dk. Terezya Huvisa.
Akizungumza na Balozi wa Brazil, Nchini Tanzania, Comoro na Seychelles
Bw. Francisco Carlos Joares Luz. Mazungumzo hayo yalihusu maandalizi ya
Mkutano wa Kimataifa wa Rio +20. yalifanyika Mtaa wa Luthuli, Dar es
Salaam.

Picha na Ali Meja.

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa