Watoto watatu ambao wamelala nyuma ya Pickup wamejeruhiwa vibaya na nyaya za umeme ,Watoto hao waliokuwa wakitembea kando ya barabara wamejeruhiwa vibaya na nyaya hizo baada ya Gari dogo aina ya Escudo kugonga moja ya nguzo hizo . kwa sasa wanakimbizwa Hospitalini.
Habari na Sport and starehe Blog


0 comments:
Post a Comment