Home » » Zoezi la Kutoa vyeti vya watoto vya Kuzaliwa kati ya Miaka 0 mpaka 5 Jijini Dar es salaam

Zoezi la Kutoa vyeti vya watoto vya Kuzaliwa kati ya Miaka 0 mpaka 5 Jijini Dar es salaam







Hapa ni wilayani Temeke ofisi za serikali ya mtaa  wa wa Maganga kata ya Temeke ambapo zoezi la la utoaji wa vyeti ya kuzaliwa kwa watoto wa kuanzia umri wa miaka O mpaka miaka 5 zoezi litafanyika mara 2 mbili kwa wiki yaani siku ya Jumanne na Alhamis kwa muda wa wiki 6.
Picha zote na Tabitha wa Dar yetu Blog

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa