Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » MGOMO WA WALIMU WAANZA JIJINI DAR Es SALAAM

MGOMO WA WALIMU WAANZA JIJINI DAR Es SALAAM

 Wanafunzi
wa shule ya msingi Makuburi manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam,  wakiwa wameuchapa usingizi baada ya kuchoka kuwasubiri
walimu kuja kufundisha bila mafanikio, wiki iliyopita Chama cha Walimu CWT kilitangaza kuwa leo jumatatu walimu wa shule za Sekondari na Msingi wangeanza mgomo nchi nzima kutokana na kutofikia muafaka kwa madai yao dhidi ya Serikali.
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE) 


 Wanafunzi
wa Shule ya Msingi Mabibo iliyopo wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam
wakiwa wamelala baada ya kuchoka kuwasubiri walimu kuja kuwafundisha madarasani .

Picha kwa Hisani ya Full Shangwe Blog




0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa