Wajasiriamali
wakifanya " practical " ya kutengeneza sabuni ya maji kwa
vitendo mara baada ya kupokea maelekezo kutoka kwa waalimu wa
ujasiriamali kutoka katika Asasi ya RafikiElimu Foundation.
wakifanya " practical " ya kutengeneza sabuni ya maji kwa
vitendo mara baada ya kupokea maelekezo kutoka kwa waalimu wa
ujasiriamali kutoka katika Asasi ya RafikiElimu Foundation.
Mwanafunzi
wa ujasiriamali akitengeneza sabuni ya unga mwenyewe mara
baada ya kupata maelekezo kutoka kwa waalimu wa ujasiriamali
kutoka RafikiELIMU Foundation.
wa ujasiriamali akitengeneza sabuni ya unga mwenyewe mara
baada ya kupata maelekezo kutoka kwa waalimu wa ujasiriamali
kutoka RafikiELIMU Foundation.
wa Ujasiriamali kutoka katika Taasisi ya RafikiElimu Foundation,
Mama Ashankira Lupembe , akifundisha kwa vitendo namna ya
kutengeneza sabuni ya maji.
Baadhi
ya wajasiriamali walio hudhuria katika Uzinduzi wa Mradi wa
Elimu Ya Ujasiriamali Mijini & Vijijini uliofanyika leo
jijini Dar Es salaam.
Akiulezea
mradi huu, mratibu msaidizi wa mradi huo alisema kuwa mradi huu upo
katika awamu kuu mbili. Awamu ya kwanza itafanyika kuanzia tarehe 01
Septemba 2012 hadi tarehe 29 Septemba 2012, na utafanyika katika mikoa
ya Dar Es salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya, Morogoro, Dodoma na
Kilimanjaro, ambapo mbali na kutoa mafunzo ya ujasiriamali, asasi
itatafuta vijana kumi na wawili kutoka katika hiyo mikoa saba kwa ajili
ya kufanya kazi kama wajitoleaji " volunteers" katika awamu ya pili ya
mradi itakayo anza rasmi tarehe 01 Novemba 2012 na kuchukua miaka miwili
hadi Novemba 2014 ambapo ndipo itakapo kuwa tamati ya mradi huu.
ya wajasiriamali walio hudhuria katika Uzinduzi wa Mradi wa
Elimu Ya Ujasiriamali Mijini & Vijijini uliofanyika leo
jijini Dar Es salaam.
Akiulezea
mradi huu, mratibu msaidizi wa mradi huo alisema kuwa mradi huu upo
katika awamu kuu mbili. Awamu ya kwanza itafanyika kuanzia tarehe 01
Septemba 2012 hadi tarehe 29 Septemba 2012, na utafanyika katika mikoa
ya Dar Es salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya, Morogoro, Dodoma na
Kilimanjaro, ambapo mbali na kutoa mafunzo ya ujasiriamali, asasi
itatafuta vijana kumi na wawili kutoka katika hiyo mikoa saba kwa ajili
ya kufanya kazi kama wajitoleaji " volunteers" katika awamu ya pili ya
mradi itakayo anza rasmi tarehe 01 Novemba 2012 na kuchukua miaka miwili
hadi Novemba 2014 ambapo ndipo itakapo kuwa tamati ya mradi huu.
Awamu
ya kwanza ya mradi huu inafanyika katika mikoa ya Dar Es salaam,
Arusha, Morogoro, Kilimanjaro, Dodoma, Mwanza na Mbeya. Jijini Dar Es
salaam, mafunzo yanafanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 01 Septemba
2012 hadi tarehe 04 Septemba 2012 katika Shule ya Msingi Mlimani ,
iliyopo katika Chuo Kikuu Cha Dar Es salaam... Ratiba kamili ya awamu ya
kwanza ya mafunzo haya ni kama ifuatavyo :
1.
ARUSHA, MOSHI & MOROGORO : Mafunzo yatafanyika kuanzia tarehe 17
hadi 19 Septemba 2012.. Mwisho wa kujiandikisha katika " programme hii "
kwa wakaazi wa ARUSHA, MOSHI na MOROGORO ni tarehe 15 Septemba 2012.
0 comments:
Post a Comment