Jana pale Maisha Club ndio Ommy Dimpoz ameionyesha kwa watanzania Video yake mpya ya ‘baadae’ aliyokwenda kuifanya Afrika Kusini na Adam wa Visual Lab, hii ni nafasi yako ya kuwa miongoni mwa watu wa kwanza watakaoiona hii video ambayo bado ni mpya, bonyeza play hapo chini…
Home »
» VIDEO KAMILI YA OMMY DIMPOZ ALIYOIFANYA AFRIKA KUSINI IMEKAMILIKA, NDIO HII.
0 comments:
Post a Comment