.jpg)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Rais wa Masuala ya Biashara za
Kimataifa wa Kampuni ya TBEA ya China, Bw. Wang Pinshan kabla ya
mazungumzo yao, Ofisini kwake jijini Dar es salaam September 4, 2012.
Kulia ni Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo wa Masuala ya Biashara, Bw. Shi
Qiwen na wapili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo, Bw. Andy.
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Rais wa Masuala ya Biashara za
Kimataifa wa Kampuni ya TBEA ya China, Bw. Wang Pinshan kabla ya
mazungumzo yao, Ofisini kwake jijini Dar es salaam September 4, 2012.
Kulia ni Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo wa Masuala ya Biashara, Bw. Shi
Qiwen na wapili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo, Bw. Andy.
.jpg)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Rais wa Masuala ya Biashara za
Kimataifa wa Kampuni ya TBEA ya China,Bw. Wang Pinshan kabla ya
mazungumzo yao, Ofisini kwake jijini Dar es salaam September 4, 2012.
Kulia ni Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo wa Masuala ya Biashara, Bw. Shi
Qiwen na wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo, Bw. Andy.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Rais wa Masuala ya Biashara za
Kimataifa wa Kampuni ya TBEA ya China,Bw. Wang Pinshan kabla ya
mazungumzo yao, Ofisini kwake jijini Dar es salaam September 4, 2012.
Kulia ni Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo wa Masuala ya Biashara, Bw. Shi
Qiwen na wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo, Bw. Andy.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
0 comments:
Post a Comment