Wakati maandamano yakiingia Uwanja wa Jangwani, waziri wa Mambo ya Ndani Emmanuel Nchimbi alifika uwanjani na kusimama jukwaa kuu. Hatua hii ilisababisha waandishi kupiga kelele na kumzomea na kutaka aondoke.
Hivyo alianza kuondoka na waandishi kumuimbia aondoke aondoke....
Aliondoka kwa aibu.
Chanzo: Mabadiliko Forum
Hivyo alianza kuondoka na waandishi kumuimbia aondoke aondoke....
Aliondoka kwa aibu.
Chanzo: Mabadiliko Forum
0 comments:
Post a Comment